Lisbon College

Lisbon College
lbsc

Wednesday, September 2, 2015

TANGAZO KWA WANAFUNZI WOTE

Taarifa maalumu kwa wanafunzi  wote.

Imetokea kuwa ni mazoea kwa wanafunzi kutozingatia sheria za chuo na hivyo kupunguza ufanisi katika masomo yao. chuo kinapenda kuwakumbusha na kuwatahadhalisha wanafunzi wote kuhusiana na ufuatwaji wa sheria za chuo. kuna baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakichelewa kufika madarasani na katika vyumba vya kufanyia mitihani. chuo kinapendekeza adhabu kali zitolewe na walimu kwa mwanafunzi yeyote atakekiuka sheria za chuo. kwa mfano mwanafunzi atakapochelewa kuingia darasana zaidi ya dakika 15 azuiliwe kuingia darasani na pia katika mitihani ya ngazi zozote zile itakayo fanyika hapa chuoni kama mwanafunzi atachalewa kuwasili zaidi ya dakika 30 basi azuiliwe kufanya mtihani huo. Kwa utaratibu huu wanafunzi na walimu wao watafanikiwa katika kuimarisha nidhamu ya masomo kwa wanafunzi na kuboresha maendeleo ya elimu kwao.

Imetolewa na Mkuu wa chuo
Lisbon Business College

TANGAZO TANGAZO TANGAZO



Saturday, August 15, 2015

UONGOZI WA CHUO UNATOA SHUKRANI KWA WOTE WALIOSAIDIA KUFANIKISHA ZOEZI ZA UKAGUZI WA NACTEM

Mkuu wa na chu kwa niaba ya uongozi wa chuo anatoa shukrani kwa wale wote waliofanikisha zoezi zima la ukaguzi wa chuo kutoka NACTE kwa kwamba zoezi lilifanyika vizuri na kwa mafanikio makubwa.
 hivyo basi tunawashuku wote walioshiriki na kusema ASANTENI.
KUTOKA KULIA NI MKUU WA CHUO AKIWA NA WAGANE WAKE KUTOKA NACTE. WANAOFUATA NI DR MBUYA.

WAFANYAKAZI NA UONGOZI WOTE WA CHUO CHA LISBONI KATIKA PICHA YA PAMOJA

WAFANYAKAZI WOTE WA CHUO CHA LISBON


Thursday, July 30, 2015

KUTOKA KWA MKUU WA CHUO. LISBON COLLEGE

MKUU WA CHUO CHA LISBON ANAPENDA KUUTANGAZIA UMA KWAMBA CHUO KITAFUNGULIWA TAREHE 3/8/2015. WANAFUNZI WOTE MNAOMBWA KLUFIKA TAREHE TAJWA BILA KUKOSA. WOTE MNAKARIBISHWA

MATOKEO YA MITIHANI YA JUNE/JULY




Thursday, June 18, 2015

NEW PROJECT LAUNCHED BY LISBON BUSINESS COLLEGE. 2015




TAARIFA KWA WANAFUNZI.

MKUU WA CHUO ANAWATANGAZIA WANAFUNZI WOTE KWAMBA MITIHANI YA KUFUNGA CHUO ITAANZA TAREHE 29/6/2015 NA KUMALIZIKA TAREHE 6/7/2015 PIA CHUO KITAFUNGWA SIKU HIO.

CHUO KITAFUNGULIWA TENA TAREHE 3/8/2015 NA MUHURA MPYA WA MASOMO UTAANZA TAREHE HIO. WALE WOTE AMBAO HAWAJAMALIZA MALIPO NA USAJIRI MNAOMBWA KUKAMILISHA MAPEMA.

IMETOLEWA NA MKUU WA CHUO

LISBON BUSINESS COLLEGE